TETESI ZA USAJILI SIMBA SC 2024/2025

Simba SC wanahusishwa kutaka saini ya mchezaji huyo raia wa DR Congo. Tetesi zimeshika kasi baada ya kutoweka kwa mchezaji wao, Kibu Denis, anayedaiwa kutorokea nchini Norway, bila ruhusa ya Klabu ya Simba.

Ellie Mpanzu (22) ni raia wa DR Congo, ambaye kwasasa bado anamkataba na AS Vita Club.

Taarifa Binafsi za Mchezaji

Jina Kamili: Elie Mpanzu Kibisawala

Mwaka wa Kuzaliwa/Umri: Jan 1, 2002 (22)

Sehemu Alipozaliwa: Kinshasa DR Congo

Urefu: 1,65 m

Uraia: DR Congo

Nafasi: Attack – Right Winger

Timu yake kwa Sasa: AS Vita Club Kinshasa

Muda wa Kujiunga: Jul 1, 2022

Leave a Comment