Rekodi, CV na Profile ya Steven Dese Mukwala Mchezaji Mpya wa Simba SC: Mukwala Steven Dese (25) ni raia wa Uganda.
Huu ni usajili wa tatu kwa Simba SC baada ya Lameck Lawi na Joshua Mutale ambao wanatarajiwa kuongeza nguvu katika kikosi cha Simba kuelekea msimu wa 2024/2025.
Taarifa Binafsi
Jina Kamili: Steven Dese Mukwala
Tarehe ya Kuzaliwa/Umri: Jul 15, 1999 (25)
Sehemu alipozaliwa: Makindye Uganda
Urefu: 1,76 m
Uraia: Uganda
Nafasi: Attack – Centre-Forward
Timu ya sasa: Simba SC
Kujiunga: Jul 1, 2024
Mwisho wa Mkataba: Jun 30, 2027
Leave a Comment