Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Nafasi za Kazi 42 za Mkataba Manispaa ya Ubungo 2025

Nafasi za Kazi 42 za Mkataba Manispaa ya Ubungo 2025

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MKATABA WA MWAKA MMOJA
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo anapenda kuwatangazia Watanzania wote nafasi za kazi za mkataba katika fani ya Uhandisi na Udereva kwa mujibu wa kibali cha ajira ya mkataba chenye Kumb: Na. FA.97/228/02″A”/190 cha tarehe 19 Disemba, 2024 kutoka kwa Katibu Mkuu Utumishi, hivyo kwa wale wenye sifa mnatakiwa kuomba nafasi hizi kama zilivyooanishwa.

 

Leave a Comment