Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Sifa Za Kujiunga Na Kozi Ya Utabibu wa Kinywa Na Meno (Clinical Dentistry)

Sifa Za Kujiunga Kozi ya Utabibu wa Kinywa na Meno (Clinical Dentistry)

Utabibu wa Kinywa Na Meno (Clinical Dentistry). Hii ni kozi inayoshughurika na matibabu ya kinywa na meno. wataalamu wa kozi hii (Dentist au Daktari wa meno) hufanya uchunguzi wa kinywa, kutoa ushauri kuhusu afya ya kinywa, kufanya upasuaji wa meno, na kutibu magonjwa mbalimbali ya kinywa na meno

Baadhi Ya vyuo Vinavyotoa Kozi ya Utabibu wa Kinywa Na Meno (Clinical Dentistry)

Tanga College of Health and Allied Sciences
2. Primary Health Care Institute
3. Mbeya College of Health and Allied Sciences
4. Kam College of Health Sciences
5. Bulongwa Health Sciences Institute  

Sifa Za Kujiunga Na Kozi Ya  Utabibu wa Kinywa Na Meno

Mwanafunzi anatakiwa awe na Cheti cha Elimu ya Sekondari (CSEE) na angalau alama nne (4) za kupita katika masomo yasiyo ya kidini ikiwa ni pamoja na Kemia, Baiolojia, na Fizikia/ Sayansi za Uhandisi.

Biology D

Chemistry D

Physics D

English D

Na ufaulu zadi ya huo

Leave a Comment