Aina za Leseni/Madaraja Ya Leseni Za Udereva

Mahitaji ya Kupata Leseni ya Udereva kwa Mara ya Kwanza

Ili kupata leseni ya udereva kwa mara ya kwanza, unahitaji kutimiza mahitaji yafuatayo:

  1. Umri: Kuwa na umri wa miaka 18 au zaidi kwa magari na miaka 16 au zaidi kwa pikipiki.
  2. Mafunzo: Hudhuria mafunzo katika chuo kinachotambuliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na upate cheti cha kuhitimu.
  3. Leseni ya Kujifunza: Pata leseni ya kujifunza (provisional) kutoka TRA.
  4. Mtihani wa Nadharia: Fanya na ufaulu mtihani wa nadharia kuhusu sheria za barabarani na usalama.
  5. Mtihani wa Vitendo: Fanya na ufaulu mtihani wa vitendo wa kuendesha gari.
  6. Cheti cha Afya: Pata cheti cha afya kutoka kwa daktari kinachothibitisha kuwa una afya nzuri ya kuendesha gari.
  7. Malipo: Lipa ada zote zinazohitajika kwa TRA.

 Majaraja ya leseni za udereva

Tanzania ina madaraja mbalimbali ya leseni za udereva, kulingana na aina ya gari unayotaka kuendesha:

  • Daraja A: Pikipiki (za ukubwa tofauti)
  • Daraja B: Magari ya binafsi
  • Daraja C: Magari ya abiria (daladala, mabasi)
  • Daraja D: Magari ya mizigo
  • Daraja E: Magari yote (isipokuwa ya abiria na pikipiki)
  • Daraja F: Mitambo maalum (forklifts, graders)
  • Daraja G: Mitambo ya kilimo na migodi (tractors)
  • Daraja H: Leseni ya kujifunza (provisional)

Leave a Comment