Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Bei ya Maji kwa unit moja

Bei ya Maji kwa unit moja

Huduma ya maji ilianza kutolewa tangu enzi za ukoloni katika miaka ya 1930. Ujenzi wa miradi ya maji kwenye vijiji ulianza mwishoni mwa miaka ya 1950 na ilitolewa katika majimbo yote tisa ya wakati huo. Mipango ya utoaji wa huduma ya maji iliandaliwa kukidhi mahitaji ya Serikali ya Mkoloni na huduma hiyo haikutolewa kwa maelekezo ya kisera.

Fahamu Bei ya Maji

Bei ya Maji ni Tsh 1663/= kwa unit moja.

Unit moja ya maji ni sawa na Lita 1000.

Bei za Maji

Leave a Comment