Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
CV na Profile ya Debora Fernandes Mchezaji Simba SC

CV na Profile ya Debora Fernandes Mchezaji Simba SC

Debora Fernandes Mavambo (24) ana uraia pacha wa Congo Brazaville lakini anaechezea timu ya taifa ya Gabon amejiunga na Simba SC kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Mutondo Stars ya Zambia.

Debora anauwezo wa kucheza kama kiungo mkabaji namba sita ingawa anafurahi zaidi kucheza juu kidogo yaani namba nane.

Debora ni mchezaji wa pili kusajiliwa katika idara ya kiungo wa kati baada baada usajili Augustine Okajepha.

Taarifa Binafsi za Mchezaji

Jina Kamili: Débora Fernandes Mavambo

Tarehe ya Kuzaliwa: Februari 17, 2000 (Umri: Miaka 24)

Nchi ya Kuzaliwa: Angola

Uraia: Congo

Uraia wa Pili: Angola

Klabu ya Sasa: Mutondo Stars (Zambia)

Nafasi: Kiungo wa Kati

Mguu Anaotumia: Kulia

Urefu: 177 cm

Uzito: 0 kg

Hali: Anaendelea kucheza

Leave a Comment