Vigezo Na Masharti Ya Huduma Ya Airtel Daka Salio
- Huduma hii kitakuwa kinapatikana kwa wateja wa malipo ya kabla
- Huduma hii iitakuwa inapatikana kupitia *149*44 # menyu ya huduma.
- Mtumiaji lazima awe kwenye mtandao wa Airtel kwa angalau siku 90.
- Mtumiaji atalipa ada ya huduma ya 15% kwa ajili ya huduma ya mkopo.
- Ada ya huduma ya 15% inakusanywa wakati wa kuongeza salio.
- Mtumiaji ataomba mkopo, atapokea muda wa maongezi au kifurushi cha kiasi kilichoombwa.
- Mchakato wa ulipaji wa mkopo hutokea wakati mtumiaji anaongeza muda wa maongezi ambapo kiasi cha mkopo kitaondolewa kwanza na salio lilibaki litawekwa katika akaunti kuu ya mtumiaji.
- Mkopo lazima kulipwa baada ya siku 7.
- Airtel haitofidia kwa huduma yoyote iliyonunuliwa. Vifurushi vyote vilivyonunuliwa lazima vitumike kama ilivyoekezwa katika menyu ya huduma.
- Airtel Tanzania PLC ina haki ya kusahihisha au kurekebisha vigezo hivi na masharti au kuondoa bidhaa wakati wowote. Tukio lolote katika hayo, taarifa itakuwa na ufanisi mara moja au kama tarehe ilivyotajwa katika arifu kama hizo.

Leave a Comment