Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Jinsi ya Kujiunga Vifurushi Simba Bando Vodacom

Jinsi ya Kujiunga Vifurushi Simba Bando Vodacom

Jinsi ya Kujiunga Vifurushi Simba Bando Vodacom

  1. Hakikisha una laini ya Vodacom Tanzania.
  2. Piga *149*01# Menu ya Kujiunga Simba Bando
  3. Chagua namba 7 “Simba & Burudani”
  4. Chagua namba 1 “Simba Bando”
  5. Kisha Chagua kifurushi cha Simba Bando unachotaka.
  6. Thibitisha uchaguzi wako.

Vifurushi vya Simba Bando Kwa Siku:

  • TSH 600: Dakika 30 za kupiga simu, SMS 20 za kutuma ujumbe, pamoja na huduma ya kipekee ya Simba Mastori.
  • TSH 600: MB 246 za intaneti kwa kuperuzi mitandao ya kijamii, kuangalia video, na mengine mengi, pamoja na Simba Mastori.

Vifurushi vya Simba Bando Kwa Wiki:

  • TSH 2900: Dakika 200 za kupiga simu, SMS 50 za kutuma ujumbe, na bila shaka, Simba Mastori.
  • TSH 3400: MB 1434 za intaneti kwa matumizi ya wiki nzima, pamoja na Simba Mastori.

Vifurushi vya Simba Bando Kwa Mwezi:

  • TSH 11000: Dakika 1200 za kupiga simu, SMS 100 za kutuma ujumbe, na huduma ya Simba Mastori.
  • TSH 11000: MB 4096 za intaneti kwa mwezi mzima wa kuperuzi bila wasiwasi, pamoja na Simba Mastori.

Leave a Comment