Jinsi ya Kujiunga Vifurushi Simba Bando Vodacom
- Hakikisha una laini ya Vodacom Tanzania.
- Piga *149*01# Menu ya Kujiunga Simba Bando
- Chagua namba 7 “Simba & Burudani”
- Chagua namba 1 “Simba Bando”
- Kisha Chagua kifurushi cha Simba Bando unachotaka.
- Thibitisha uchaguzi wako.
Vifurushi vya Simba Bando Kwa Siku:
- TSH 600: Dakika 30 za kupiga simu, SMS 20 za kutuma ujumbe, pamoja na huduma ya kipekee ya Simba Mastori.
- TSH 600: MB 246 za intaneti kwa kuperuzi mitandao ya kijamii, kuangalia video, na mengine mengi, pamoja na Simba Mastori.
Vifurushi vya Simba Bando Kwa Wiki:
- TSH 2900: Dakika 200 za kupiga simu, SMS 50 za kutuma ujumbe, na bila shaka, Simba Mastori.
- TSH 3400: MB 1434 za intaneti kwa matumizi ya wiki nzima, pamoja na Simba Mastori.
Vifurushi vya Simba Bando Kwa Mwezi:
- TSH 11000: Dakika 1200 za kupiga simu, SMS 100 za kutuma ujumbe, na huduma ya Simba Mastori.
- TSH 11000: MB 4096 za intaneti kwa mwezi mzima wa kuperuzi bila wasiwasi, pamoja na Simba Mastori.

Leave a Comment