Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Jinsi Ya Kupata Leseni Ya Udereva

Jinsi Ya Kupata Leseni Ya Udereva

Jinsi Ya Kupata Leseni Ya Udereva

Leseni  ni hati maalumu anayopatiwa dereva aliyefuzu mafunzo maalumu ya udereva na TRA kutoka katika chuo kilicho sajiliwa na kutambulika na TRA

Kuwa na leseni ya udereva kwa dereva anayetaka kuendesha gari nchini Tanzania ni miongoni mwa hatua muhimu sana katika safari ya kua dereva huru na bora. Kwa kuzingatia umuhimu wa kua na leseni ya udereva kwa madereva Tanzania tumeamua kukuletea mwongozo utakaokuonyesha jinsi ya kuweza kupata leseni ya udereva nchini Tanzania.

 Kujiunga na Shule ya Udereva

Omba Leseni ya Kujifunza

Fanya Mtihani wa Udereva

 Fanya Mtihihani wa Nadharia
Mtihani wa Vitendo
  1. Pata Cheti cha Afya: Fanya uchunguzi wa afya na upate cheti kutoka kwa daktari.
  2. Lipa Ada: Lipa ada zote zinazohitajika kwa TRA.

 Pata Leseni yako

Baada ya kukamilisha hatua zote hapo juu utasubili muda kidogo na TRA itashugulikia ombi la leseni yako na pindi leseni yako itakapokua tayari utatumiwa na TRA kupitia sanduku la posta uliloliweka kwenye formu ya maombi ya leseni au unaweza kuifuata mwenyewe kwenye ofisi za TRA.

Leave a Comment