Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Jinsi ya Kutuma Maombi JWTZ 2025

Jinsi ya Kutuma Maombi JWTZ 2025

Jinsi ya Kutuma Maombi Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) 2025.

Utaratibu wa Kutuma Maombi

Utaratibu wa kutuma maombi kwa makundi yote mawili ni maombi yote yaandikwe Kwa mkono na yawasilishwe Makao Makuu ya Jeshi Dodoma kuanzia Mei 1 2025 hadi tarehe 14 Mei,2025 yakiwa na Nakala ya kitambulisho cha Taifa au nambari ya NIDA, Nakala ya Cheti Cha kuzaliwa,vyeti vya Shule na chuo, Nakala ya Cheti Cha JKT kwa waombaji waliomaliza mkataba wa kujitolea pamoja na nambari ya simu ya mkononi ya Mwombaji.

Hakuna nafasi ya kujiunga Jeshini kwa kutoa fedha atakae toa na kupokea Sheria ipo pale pale hatua Kali kwao zitachukuliwa.

Leave a Comment