Kikosi cha Leo Simba SC vs Coastal Union 1.3.2025

Wawakilishi wa Ligi Kuu Tanzania Bara kimataifa Simba SC, wanatarajia kuwavaa  Coastal Union  leo uwanja wa  Sheikh Amri Abeid Stadium. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 1:00 usiku na kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD.

Kikosi Cha Simba SC kinachotarajiwa kucheza leo vs  Coastal Union

Leave a Comment