Kupata Kitambulisho cha NIDA kwa SMS

KUCHUKUA KITAMBULISHO KATIKA OFISI YA NIDA YA WILAYA YAKO

Kufuatia baadhi ya wananchi kutochukua Vitambulisho vyao vilivyokuwa katika ofisi za Kata, Vijiji, Mitaa na Shehia, Vitambulisho hivyo sasa vimekusanywa na kurudishwa katika ofisi za NIDA za Wilaya

Ukipokea Ujumbe Mfupi wa simu (SMS) fika ofisi ya NIDA Wilaya uliko jisajili kuchukua Kitambulisho chako.

Kumbuka

Atakayeshindwa kuchukua Kitambulisho chake ndani ya mwezi mmoja toka kupokea ujumbe mfupi wa simu, matumizi ya Namba yake ya Utambulisho wa Taifa (NIN) yatasitishwa.

Leave a Comment