Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Majina Walioitwa Katika Usaili (Interview ) INEC Dar es salaam

Majina Walioitwa Katika Usaili (Interview ) INEC Dar es salaam

Kwa kuzingatia Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani NA. 1 ya mwaka 2024 pamoja na Kanuni ya 12 (1) na (2) ya Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura za mwaka 2024, Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Kigamboni anawatangazia waombaji wote na nafasi ya Mwendesha Kifaa cha Bayometriki (BVR Operator) na nafasi ya Mwandishi Msaidizi waliochaguliwa kufika katika usaili utakaofanyika tarehe 01 Machi, 2025 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni kuanzia saa 2: 00 Asubuhi.

Waombaji wote wanatakiwa kuzingatia yafuatayo :-

· Muda wa kuanza usaili ni saa 2:00 Asubuhi

· Msailiwa atajigharamia gharama zote ikiwemo usafiri, chakula na malazi

· Fika ukiwa na kitambulisho chochote au barua ya utambulisho kutoka Ofisi ya Serikali ya Mitaa.

· Kila msailiwa afike na cheti halisi cha kidato cha nne

Pamoja na tangazo hili imeambatishwa orodha ya majina ya waombaji waliochaguliwa.

PAKUA PDF CHINI

BVR KIGAMBONI

BVR ILALA MC

UBUNGO

BVR-KINONDONI-MC

Leave a Comment