Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Majina Walioitwa Kazini Ajira Za INEC Temeke (Dar es salaam)

Majina Walioitwa Kazini Ajira Za INEC Temeke (Dar es salaam)

Manispaa ya Temeke ni moja ya Halmashauri chache kongwe zenye utajiri na historia ambayo imechangia kuleta mabadiliko kisiasa, kiuchumi na kijamii Nchini. Kwa ujumla Temeke imekuwa kitovu cha upatikanaji wa uhuru wa Tanzania bara, pia kwa ukuaji wa michezo, utamaduni na maendeleo ya kilimo katika jiji la Dar es Salaam.

Manispaa ya Temeke ina eneo la ukubwa wa kilomita za mraba 240 iliundwa 1999 chini ya sheria ya Serikali za mitaa (mamlaka ya miji) ya mwaka1982.

BONYEZA HAPA CHINI KUPAKUA PDF

TEMEKE-MC

ILALA MC

UBUNGO

KIGAMBONI

BVR KINONDONI 2025

Leave a Comment