Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 17-03-2025 hadi 29-03-2025 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.
PAKUA PDF HAPA CHINI
March 4
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MDAs NA LGAs 04-03-2025
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 04-03-2025
Leave a Comment