Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Majina ya Form Six Walioitwa JKT Mujibu 2025

Majina ya Form Six Walioitwa JKT Mujibu 2025

Majina ya form six walioitwa jkt mujibu 2025 pdf, Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga JKT 2025, Waliochaguliwa JKT kwa Mujibu wa Sheria 2025, Form Six Waliochaguliwa Kujiunga JKT 2025/2026. Jeshi la kujenga Taifa(JKT) limekuwa linapokea na kuendesha Mafunzo yahusuyo Ulinzi wa Taifa, uzalendo, Ujasiliamali, Ujasili (kupitia mafunzo ya Kilimo, Ufugaji na Biashara) kwa nyakati tofauti tofauti kadri ya maelekezo kutoka Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.

Vijana wa JKT wamegawanyika katika makundi mawili nayo ni;

1. Vijana wa Kujitolea na

2. Vijana wa Mujibu wa Sheria.

Vijana wa Kujitolea: 

Hawa ni vijana wa JKT ambao wanajiunga na JKT kwa Mkataba wa kujitolea kwa kipindi kisichopungua miaka miwili (2). Mara baada ya kuandikishwa vijana hao huwa wanapelekwa kwenye kambi mbalimbali za JKT kwa ajili ya Malezi na Mafunzo mbalimbali.

Vijana wa Mujibu wa Sheria:

Hawa ni wale vijana wanaojiunga na JKT kwa mujibu wa sheria. Kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wanatumikia JKT kwa kipindi kisichopungua miezi (3). kwa sasa vijana wa Mujibu wa sheria ni wale wanafunzi waliomaliza kidato cha sita (form six) kutoka mashule mbalimbali ya Tanzania Bara.

Main link – https://www.jkt.go.tz/current_ns_intakes

School Link – https://www.jkt.go.tz/current_ns_intakes/S####

DOWNLOAD PDF HAPA

Leave a Comment