Vijana wa JKT wamegawanyika katika makundi mawili nayo ni;
1. Vijana wa Kujitolea na
2. Vijana wa Mujibu wa Sheria.
Vijana wa Kujitolea:
Hawa ni vijana wa JKT ambao wanajiunga na JKT kwa Mkataba wa kujitolea kwa kipindi kisichopungua miaka miwili (2). Mara baada ya kuandikishwa vijana hao huwa wanapelekwa kwenye kambi mbalimbali za JKT kwa ajili ya Malezi na Mafunzo mbalimbali.
Vijana wa Mujibu wa Sheria:
Hawa ni wale vijana wanaojiunga na JKT kwa mujibu wa sheria. Kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wanatumikia JKT kwa kipindi kisichopungua miezi (3). kwa sasa vijana wa Mujibu wa sheria ni wale wanafunzi waliomaliza kidato cha sita (form six) kutoka mashule mbalimbali ya Tanzania Bara.
Main link – https://www.jkt.go.tz/current_ns_intakes
School Link – https://www.jkt.go.tz/current_ns_intakes/S####
Leave a Comment