Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
MAJUKUMU YA MWALIMU WA TAALUMA

MAJUKUMU YA MWALIMU WA TAALUMA

MWALIMU MWANDAMIZI TAALUMA

1. Atakuwa mshauri wa Mwalimu Mkuu katika mambo yote yanayohusu masomo ya darasani. Atakuwa Katibu wa Kamati ya Taaluma ambayo inawaunganisha wakuu wa idara zote za masomo.

2. Atakuwa Katibu wa Kamati ya Taaluma ambayo inawaunganisha wakuu wa idara zote za masomo.

3. Atashirikiana na wakuu wa idara mbalimbali za masomo katika kuwagawia walimu vipindi vya kufundisha.

4. Atapokea makadirio ya matumizi kutoka kwa wakuu wa idara za masomo na kuyaunganisha pamoja na kumwezesha Mwalimu Mkuu kutayarisha makadirio yake ya mwaka hasa kuhusiana na kifungu cha vifaa vya darasani.

Leave a Comment