Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Maswali ya Interview TRA Kujiandaa 2025/2026

Maswali ya Interview TRA Kujiandaa 2025/2026

Maswali ya Interview TRA Kujiandaa na Usaili 2025. Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (kwa Kiingereza: Tanzania Revenue Authority; kifupi: TRA) ni shirika la serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lililoanzishwa na Sheria ya Mapato ya Tanzania, Cap. 339 ya mwaka 1995 na kuanza shughuli zake rasmi tarehe 1 Julai 1996.

PAKUA PDF HAPA CHINI

Maswali ya Kujiandaa na Usaili TRA 2025/2026

Katika kutekeleza kazi zake kisheria, TRA inawajibika, katika kusimamia na kutoa sheria au masharti maalum ya sheria zilizowekwa katika ratiba ya kwanza ya Sheria, na kwa lengo la sheria hiyo TRA ina kazi ya kutathimini, kukusanya, na kuhifadhi mapato yote kama ambavyo sheria hizo zinavyosema na ni kwa niaba ya serikali.

Leave a Comment