Matokeo ya Mock Darasa la  Nne Mikoa Yote Tanzania 2025

Umuhimu wa Mtihani wa Mock kwa Wanafunzi

1. kujitathimi

2. kujifunza mbinu za mtihani

3. Kuimarisha ujuzi

Matokeo ya Mock Darasa la  Nne Mikoa Yote Tanzania 2025

Shule za msingi Tanzania zimetangaza matokeo ya darasa la Nne kwa mitihani ya mock iliofanyika katika shule mbalimbali za msingi ili kupima uwezo na ufaulu wa wanafunzi kuelekea mtihani wa mwisho wa darasa la saba itakayo fanyika mwezi wa Tisa 2025

Matokeo ya mock kwa darasa la saba unaweza kuyapata kupitia tovuti ya mkoa husika au kwenda shuleni kupata matoke hayo au kuwasiliana na shule husika ili kukupatia matokeo ya mwanafunzi.

Leave a Comment