Mechi ya Simba SC Vs Young Africans Itachezwa Lini??

Mechi ya Simba SC dhidi ya Young Africans Itachezwa Lini?, Wekundu wa Msimbazi Simba SC wanatarajia kuwavaaa Young Africans katika uwanja wa  Benjamin Mkapa.

Mechi ya Simba dhidi ya    itaanza saa 19:15 Usiku

Taarifa za Mechi

Muda: 19:15 Usiku

Uwanja: Benjamin Mkapa.

Mashindano: Ligi Kuu 2024/25

 

Leave a Comment