Mechi ya Simba vs Azam FC Saa Ngapi? 24.2.2025

Mechi ya Simba SC dhidi ya Azam FC Leo Saa Ngapi?, Mechi ya Simba na Azam itaanza saa ngapi?. Wekundu wa Msimbazi Simba SC wanatarajia kuwavaaa Azam leo uwanja wa Benjamen Mkapa maarufu Lupaso.

Mechi ya Simba dhidi ya Azam FC itaanza saa 1:00 usiku.

Taarifa za Mechi

Muda: 1:oo usiku

Uwanja: Benjamen Mkapa Stadium

Mashindano: Ligi Kuu 2024/25

Leave a Comment