Nafasi 39 za Kazi Lakezone Security Guard, February 2025

Kampuni ya ulinzi LAKEZONE SECURITY GUARD inapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kuomba nafasi za kazi zifuatazo;

1. Ulinzi (security)-30

SIFA

Awe mtanzania wa kuzaliwa

Umri kati ya miaka 20 hadi 50

Elimu kuanzia darasa la saba na kuendelea

2. Wasimamizi wa walinzi (supervisor)- 6

SIFA

Umri kuanzia miaka 30 hadi 55

Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea

Awe na leseni ya udereva

3. Afisa masoko (marketing officer) – 3

SIFA

Elimu ngazi ya astashahada/stashahada/shahada

Umri miaka 35 hadi 55

Awe na uzoefu na masoko.

MAELEZO YA JUMLA KUOMBA KAZI

Barua ya maombi ya kazi.

Barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa na wadhamini watatu.

Nakala ya vyeti vya elimu, ujuzi na ya mafunzo ya JKT/Mgambo na mengineyo, na CV.

Nakala ya kitambulisho/namba ya NIDA/kitambulisho cha mpiga kura/leseni/ pasipoti ya kusafiria

MAOMBI YOTE YALETWE MOJA KWA MOJA KWENYE OFISI ZETU ZILIZOPO

Ubungo- External BR. maji chumvi, bonde la mchicha.

Mwisho tarehe 20/02/2025.

Mawasiliano;
+255680082954. +255719979784, +25587006119.

DOWNLOAD PDF HAPA CHINI

Nafasi za Kazi

Leave a Comment