TANGAZO LA NAFASI YA KAZI
Kufuatia Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi kupata kibali cha ajira mpya chenye Kumb. Na. FA.228/613/01F/064 cha tarehe 13 Machi, 2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Wilaya ya Ikungi anatangaza nafasi ya kazi na anakaribisha maombi kwa Watanzania wenye Sifa za kujaza nafasi kama ilivyoorodheshwa kwenye Tangazo hili.
PAKUA PDF HAPA CHINI
TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA IKUNGI 24-03-2025
Leave a Comment