Shule Ya Sekondari Ya Wasichana St. Therese Mapinga- Iliyopo Wilayani Bagamoyo, Mkoa Wa Pwani Inatangaza Nafasi Ya Kazi Kitengo Cha LABARATORY TECHNICIAN (Mtaalamu Wa Maabara)
SIFA ZA MWOMBAJI
- Awe Amemaliza Stashahada Ya Maabara Au Shahada Ya Maabara.
- Mwenye Uzoefu Angalau Mwaka Mmoja Wa Kazi.
- Awe Jinsia Ya Kiume.
Kwa Mawasiliano Piga Simu No. 0652984232 Au Tuma Barua Ya Maombi Ukiambatanisha CV Na Vyeti Kwa Njia Ya WHATSAPP Ziwe Kwenye File Moja Au Tuma Kupitia Email Ya Shule sttheresemapinga2021@gmail.com
Mwisho Wa Kutuma Maombi Ni Tarehe 24/02/2025 Na Usaili Utafanyika Tarehe 25/02/2025.
Karibuni Sana.
DOWNLOAD PDF FILE
Leave a Comment