Nafasi za Kazi Ualimu Al-Huda English Medium Pre & Primary School

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI.

AL-HUDA ENGLISH MEDIUM PRE&PRIMARY SCHOOL Inatangaza nafasi za kazi.

1.MWALIMU WA AWALI

AWE NA SIFA ZIFUATAZO -:

i/Awe na msingi wa elimu ya Montessori/Nursery

ii/Awe na Uwezo wa kuongea,kuandika na kusoma lugha ya kiingereza vizuri

iii/Akiwa na uzoefu wowote katika kufundisha masomo haya utazingatiwa pia.

iv/Awe na upendo na ukarimu kwa watoto.

2. MWALIMU WA DRS 1&2

AWE NA SIFA ZIFUATAZO.

I/Awe na Uwezo wa kuongea,kuandika na kusoma lugha ya kiingereza vizuri

ii/Awe na ngazi ya Cheti au Diploma ya ualimu.

lii/Awe na uzoefu wa kufundisha madarasa husika walau miaka 2.

Iv/Awe mwenye kuipenda kazi yake.

NB. Barua za maombi zitumwe kupitia Whatsup no. 0748 001 007.

Leave a Comment