Nafasi za Kazi Ualimu Shule ya Alpha Adventist 2025

TANGAZO LA KAZI ALPHA ADVENTIST SECONDARY SCHOOL

Uongozi wa shule ya Alpha Adventist secondary school inayomilikiwa na kanisa la waadventista wa sa- bato Jimbo la Magharibi mwa Tanzania (WTC), iliyoko Chato mjini unatangaza nafasi ya kazi ya ualimu kwa walimu wenye masomo yafuatayo,

Physics -Mathematics (Bachelor) Commerce -Book keeping. (Bachelor)

Kwa mawasiliano zaid piga namba zifuatazo.

Mkuu wa shule 0789018811/0759487053.

Mwalimumwandamizi wa Taluma 0755814295/0615914295.

Waombaji wote watume maombi yao kwa barua pepe mafwelesabato@gmail.com.

Usaili utafanyika tarehe 10-12/02/2025, shuleni Alpha adventist.

Waombaji wote mnakaribishwa kwa masomo yaliyotajwa hapo juu.

Leave a Comment