SHULE YA SEKONDARI MURUTUNGURU INAYOMILIKIWA NA KANISA KATOLIKI JIMBO LA BUNDA ILIYOKO WILAYA YA UKEREWE MKOA WA MWANZA INAWATANGAZIA WATU WOTE NAFASI YA KAZI YA:
MWALIMU WA:
PHYSICS na BASIC MATHEMATICS
CHEMISTRY na BASIC MATHEMATICS
KWA WOTE WENYE SIFA WAFIKE SHULENI MURUTUNGURU TAREHE 25/04/2025, IJUMAA KWA AJILI YA USAILI KUANZIA SAA 3.00 ASUBUHI.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA
+255-744 943 976 – Mkuu wa shule
+255 762 088 517 -Mtaaluma
NB: Fika na vyeti vyako halisi pamoja na CV siku ya usaili

Leave a Comment