Nafasi za Kazi Ualimu Shule ya Sekondari ST. JOSEPH ALLAMANO

TANGAZO NAFASI YA KAZI YA UALIMU

Shule ya sekondari ST. JOSEPH ALLAMANO ni shule inayomilikiwa na Kanisa KATOLIKI Jimbo K uu la Mbeya. Shule hii ni ya bweni kwa mchanganyiko wa wavulana na wasichana kwa kidato cha l- IV Shule inapatikana halmashauri ya Wilaya ya Rungwe. Kwa barabara kuu ya kutotka UYOLE kuelekea Kyela, unashukia mji mdogo wa USHIRIKA kisha unatumia usafiri wa pikipiki kwa umbali wa KM 6 kufika shuleni ST. JOSEPH ALLAMANO (KISSA MISSION)

MASOMO

1. Chemistry

2. Bible Knowledge

DOWNLOAD PDF HAPA

Leave a Comment