Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu inatekeleza Programu ya Kukuza Ujuzi Nchini inayolenga kuwezesha nguvu kazi ya Taifa kupata ujuzi na stadi za kazi stahiki ili kumudu ushindani katika soko la ajira. Ofisi imeingia makubaliano na vyuo 52 vinavyotoa mafunzo ya ufundi stadi ambavyo vimesajiliwa na Mamlaka husika kutoa mafunzo katika fani mbalimbali zikijumuisha ubunifu wa Mitindo na Ushonaji Nguo, Ufundi Bomba, Uashi, Useremala, Uchomeleaji na uungaji vyuma, Upakaji rangi na maandishi ya alama, Upishi, Utengenezaji wa vipuri vya mitambo, Ufundi Magari na Mitambo, umeme wa majumbani na viwandani, Umeme wa Magari, Huduma za Hoteli na Utalii, Ukataji Madini na Ufundi vyuma.
Ofisi inapenda kuwatangazia vijana wa Kitanzania wenye umri kati ya miaka 15 hadi 35 wanaopenda kujiunga na mafunzo katika mojawapo ya fani
zilizoorodheshwa hapo chini wafike katika vyuo vya VETA vya Mikoa na Wilaya pamoja na vyuo vilivyoainishwa hapa chini ili kuchukua fomu ya
kuomba kujiunga na mafunzo. Serikali itafadhili ada ya mafunzo kwa asilimia 100. Mwanafunzi / mzazi / mlezi atagharamia gharama nyingine zikijumuisha nauli ya kwenda chuoni na kurudi nyumbani. Mafunzo yataanza tarehe 03 Machi, 2025 na yatakua ya kutwa. Mwombaji anashauriwa kuomba mafunzo haya katika chuo kilicho katika Mkoa anaoishi.
Vituo vilivyokubalika na Serikali kutoa mafunzo hayo na fani zake vimeambatishwa.
ORODHA YA VYUO VILIVYOKUBALIKA NA SERIKALI KUTOA MAFUNZO
| NA. | MKOA | JINA LA CHUO | FANI ZILIZOKUBALIWA KUFUNDISHWA |
| 1 | Arusha | Chuo cha Taifa cha Utalii Kampasi ya Arusha | Upishi |
| Uokaji Mikate, keki | |||
| Huduma ya Chakula na Vinywaji | |||
| Mapokezi | |||
| Huduma za Ndani na Utunzaji wa
vyumba vya wageni |
|||
| Utalii na Usafirishaji | |||
| Kuongoza Watalii | |||
| VETA Arusha VTC | Umeme wa Majumbani | ||
| Ufundi Bomba | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Ufundi Magari | |||
| Umeme wa magari | |||
| Uungaji na Uchomeleaji vyuma | |||
| 2 | Dar es salaam | Don Bosco Vocational Training Centre – Oysterbay | Ufundi magari |
| Useremala | |||
| Upishi | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Uchongaji vipuri | |||
| Umeme wa majumbani | |||
| Umeme wa jua | |||
| Ubunifu na ushonaji wa nguo | |||
| Chuo cha Marendeleo ya Wananchi Kigamboni | Umeme wa majumbani | ||
| Umeme wa magari | |||
| Ufundi magari | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Ufundi bomba | |||
| Ubunifu na ushonaji wa nguo | |||
| 3 | Dodoma | Don Bosco Technical Institute – Dodoma | Ufundi magari |
| Ufundi bomba | |||
| Upishi | |||
| Huduma ya Chakula kula na vinywaji |
| NA. | MKOA | JINA LA CHUO | FANI ZILIZOKUBALIWA KUFUNDISHWA |
| Uchongaji vipuri | |||
| Umeme wa majumbani | |||
| Umeme wa jua | |||
| Ubunifu na ushonaji wa nguo | |||
| Institute of Heavy Equipment and Technology (IHET) | Ufundi wa mitambo | ||
| Uendeshaji wa mitambo | |||
| Umeme wa magari | |||
| Ufundi magari | |||
| Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Chisalu | Ubunifu na ushonaji wa nguo | ||
| Uashi | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Ufugaji wa wanyama na nyuki | |||
| 4 | Geita | Geita Vocational Training Centre | Ufundi umeme |
| Ufundi magari | |||
| Ufundi bomba | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Ubinifu na Ushonaji wa nguo | |||
| 5 | Iringa | Don Bosco Youth Training Centre, Iringa | Ufundi magari |
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Ufundi umeme | |||
| Mafinga Lutheran VTC | Ufundi umeme | ||
| Useremala | |||
| Ufundi Magari | |||
| Nishati Jadidika | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Upishi | |||
| Ufundi Bomba | |||
| Uchomeleaji na Uungaji Vyuma | |||
| 6 | Kagera | Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Ngara | Useremala |
| Uashi | |||
| Ubunifu na ushonaji wa nguo | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Kashozi Home Craft Vocation Training Centre | Ubunifu na Ushonaji wa nguo | ||
| Upishi | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| VETA Karagwe | Ubinifu na Ushonaji wa nguo | ||
| Ufundi magari | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Ufundi wa kielektroniki | |||
| umeme wa magari |
| NA. | MKOA | JINA LA CHUO | FANI ZILIZOKUBALIWA KUFUNDISHWA |
| Upishi | |||
| 7 | Katavi | VETA Mpanda VTC | Ubunifu na Ushonaji wa nguo |
| Uashi | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Ufundi magari na mitambo | |||
| 8 | Kigoma | Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Kibondo | Ufundi Umeme |
| Ufundi magari | |||
| Ufundi bomba | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Kasulu | Ufundi Umeme | ||
| Uchomeleaji na Uungaji wa Vyuma | |||
| Umeme wa Magari | |||
| Ufundi bomba | |||
| Uashi | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Ufundi Magari | |||
| 9 | Kilimanjaro | Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Mamtukuna | Ufundi magari |
| Ufundi Umeme | |||
| Ubunifu na ushonaji wa nguo | |||
| Marangu School of Tourism and Vocational Training | Kuongoza watalii | ||
| Upishi | |||
| Huduma za chakula na vinywaji | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Ususi na urembo | |||
| Mapokezi | |||
| Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Same | Ufundi Magari | ||
| Ufundi Umeme | |||
| Umeme wa Magari | |||
| Upishi | |||
| 10 | Lindi | VETA Lindi RVTSC | Ubunifu na Ushonaji wa nguo |
| Ufundi bomba | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Ufundi magari na mitambo | |||
| Ufundi umeme | |||
| Umeme wa magari | |||
| Upishi | |||
| Huduma ya Chakula na vinywaji | |||
| VETA Ruangwa DVTC | Ubunifu na Ushonaji wa nguo | ||
| Ufundi Umeme |
| NA. | MKOA | JINA LA CHUO | FANI ZILIZOKUBALIWA KUFUNDISHWA |
| Uashi | |||
| Ufundi magari | |||
| 11 | Manyara | VETA Manyara RVTSC | Ufundi magari |
| Ufundi Umeme | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Ufundi zana za kilimo na mitambo | |||
| 12 | Mara | Musoma Utalii Training college | Upishi |
| Kuongoza Watalii | |||
| ST. Anthony Vocational Training Centre | Upishi | ||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Uashi | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Ufundi wa magari | |||
| Ufundi bomba | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Umeme wa magari | |||
| Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Tarime | Ufundi Umeme | ||
| Ubunifu na ushonaji wa nguo | |||
| Mifugo | |||
| Useremala | |||
| Ufundi magari | |||
| Ufundi bomba | |||
| 13 | Mbeya | Chuo cha Ufundi cha Magereza Ruanda | Seremala |
| Uashi | |||
| Ufundi bomba | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Ufundi rangi | |||
| Uchomeleaji na Uunagji vyuma | |||
| Kyela Polytechnic College | Ufundi Umeme | ||
| Useremala | |||
| Ufundi Magari | |||
| Uchomeleaji na Uungaji Vyuma | |||
| Ususi na Urembo | |||
| Upishi | |||
| Ufundi Aluminium & PVC | |||
| Uwekaji Marumaru na Vigae | |||
| VETA Busokelo DVTC | Useremala | ||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Chuo Kikuu cha Sayansi | Uchomeleaji na uungaji vyuma |
| NA. | MKOA | JINA LA CHUO | FANI ZILIZOKUBALIWA KUFUNDISHWA |
| na Teknolojia Mbeya (MUST) | Ufundi magari | ||
| Ufundi wa Viyoyozi na Majokofu | |||
| Ufundi umeme wa magari | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Ufundi wa marumaru na terazo | |||
| Uashi | |||
| Ufundi bomba | |||
| Ufundi vifaa vya aluminium na PVC | |||
| Upambaji | |||
| Upakaji rangi na maandishi ya alama | |||
| Utengenezaji wa vipuri vya mitambo | |||
| 14 | Morogoro | Chuo cha Mafunzo Stadi
– Garisa |
Umeme wa Magari |
| Ufundi wa Magari | |||
| Saluni , Mapambo , Ususi na Urembo | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Mapishi na Ukarimu | |||
| Lakewood Training Institute | Kuongoza Watalii | ||
| Ufundi Umeme | |||
| 15 | Mtwara | Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Mtawanya | Ufundi Umeme |
| Uashi | |||
| Uchomeleaji na Uungaji vyuma | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Masasi | Ufundi wa Magari | ||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Ufundi bomba | |||
| Uashi | |||
| Useremala | |||
| Ufundi Umeme | |||
| 16 | Mwanza | Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Malya | Ufundi bomba |
| Ufundi Umeme | |||
| Ufundi magari | |||
| Uashi | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Sengerema | Ufundi meme | ||
| Uchomeleaji na Uunagji vyuma | |||
| Ufundi wa Magari | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Ufundi Bomba | |||
| Umeme wa Magari | |||
| VETA Mwanza RVTSC | Ufundi Umeme | ||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma |
| NA. | MKOA | JINA LA CHUO | FANI ZILIZOKUBALIWA KUFUNDISHWA |
| Ufundi bomba | |||
| Ufundi umeme wa magari | |||
| Upishi | |||
| Huduma ya chakula na vinywaji | |||
| Usafi na utunzaji wa vyumba vya
Wageni |
|||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Upakaji rangi na uandishi wa alama | |||
| Ukarabati wa mashine za kuchakata pamba | |||
| Ufundi magari | |||
| Aluminium works | |||
| Uashi | |||
| 17 | Pwani | VETA Pwani RVTSC | Ubunifu na Ushonaji wa nguo |
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Ufundi magari | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Vikindu Catholic Polytechnic College | Ufundi Umeme | ||
| Upishi | |||
| Umeme wa Magari | |||
| Uundaji na Uungaji Vyuma | |||
| Ufundi bomba na uunganishaji | |||
| Ufundi viyoyozi wa majengo na magari | |||
| Ufundi rangi na Uchoraji | |||
| Ufundi wa Umeme wa Jua | |||
| Uashi | |||
| 18 | Rukwa | Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Chala | Ufundi Umeme |
| Ushonaji | |||
| Umeme wa magari | |||
| Uashi | |||
| Ufundi magari | |||
| 19 | Ruvuma | Chuo cha Ufundi Stadi Mpapa | Useremala |
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Chipole Vocational Training Centre | Ufundi bomba | ||
| Ufundi magari na mitambo | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Umeme wa majumbani na Viwandani | |||
| Uashi | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma |
| NA. | MKOA | JINA LA CHUO | FANI ZILIZOKUBALIWA KUFUNDISHWA |
| Peramiho Vocational Training Centre | Ubunifu na Ushonaji wa nguo | ||
| Ufundi bomba | |||
| Uashi | |||
| Useremala | |||
| Ufundi magari | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Chuo cha Songea VTC | Ubunifu na Ushonaji wa nguo | ||
| Ufundi bomba | |||
| Uashi | |||
| uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Ufundi magari | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Umeme wa magari | |||
| 20 | Shinyanga | Hill Forest College | Mapokezi |
| St. Francis de Sales Vocational Training Center | Ufundi Umeme | ||
| Ufundi Bomba | |||
| Ufundi Magari | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma | |||
| Saluni na mapambo | |||
| 21 | Singida | Chuo cha Ufundi na Marekebisho kwa watu wenye Ulemavu Sabasaba | Ususi na urembo |
| Uokaji keki na mikate | |||
| Umeme wa Majumbani | |||
| Uchomeleaji | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| RC Mission Vocational Training Centre | Ubunifu na Ushonaji wa nguo | ||
| Ufundi wa magari na mitambo | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Umeme wa magari | |||
| 22 | Tabora | Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Nzega | Ufundi Umeme |
| Ufundi magari | |||
| Ufundi bomba | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Useremala | |||
| Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Sikonge | Ubunifu na Ushonaji wa nguo | ||
| Ufundi Bomba | |||
| Uashi | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Uchomeleaji na Uungaji vyuma | |||
| Chuo cha Maendeleo ya | Ufundi bomba |
| NA. | MKOA | JINA LA CHUO | FANI ZILIZOKUBALIWA KUFUNDISHWA |
| Jamii Kaliua | Ufundi Umeme | ||
| 23 | Tanga | St. Patrick’s Vocational Training Centre | Ufundi magari |
| Umeme wa magari | |||
| Ufundi Umeme | |||
| Ubunifu na Ushonaji wa nguo | |||
| Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Handeni | Umeme wa majumbani | ||
| Uashi | |||
| Ufundi bomba | |||
| Uchomeleaji na uungaji vyuma |
Leave a Comment