Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Ratiba ya Kukatika kwa Umeme Mkoa wa Dar es salaam, Pwani na Zanzibar, February 2025

Ratiba ya Kukatika kwa Umeme Mkoa wa Dar es salaam, Pwani na Zanzibar, February 2025

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Dar es salam, Pwani na Zanzibar linawajulisha wateja wake kuwa, Shirika  linatarajia kufanya matengenezo ya umeme kwenye Kituo kikubwa cha Ubungo kwa ajili ya kuboresha hali ya upatikanaji wa huduma ya umeme kwa wateja wake kufuatia ongezeko la mahitaji ya matumizi ya umeme katika maeneo ya mikoa wa Dar es Salaam, Pwani na Zanzibar.
Hivyo baadhi ya wateja wa maeneo yafuatayo katika maeneo watakosa huduma ya umeme ili kufanya matengenezo hayo kama ifuatavyo:-

Leave a Comment