Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Nne 2025 Imetoka

Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Nne 2025 Imetoka

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza ratiba ya mtihani wa Taifa kidato cha nne 2025/2026, utakaofanyika kuanzia tarehe 10 Novemba hadi 28 Novemba 2024. Mtihani huu ni muhimu sana katika mfumo wa elimu wa Tanzania, kwani ndio unaotumika kutathmini kiwango cha ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha nne na kuamua hatua zao zinazofuata katika masomo yao.

Ratiba hii inatoa mwongozo kamili wa tarehe, siku, na muda wa kila somo litakalofanyiwa mtihani. Aidha, inajumuisha maelekezo muhimu kwa wanafunzi, wazazi/walezi, na walimu kuhusu taratibu za mtihani na mambo mengine muhimu yanayohitaji kuzingatiwa.

DOWNLOAD CSEE 2025 EXAM TIMETABLE

Leave a Comment