Ratiba Ya Simba Robo Fainali Kombe La Shirikisho Afrika 2024/2025

Msimamo Kundi la Simba Kombe la Shirikisho CAF 2024/2025

Klabu ya Simba imefanikiwa kufuzu kwa hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF msimu wa 2024/2025. Simba imefainikiwa kuingia hatua ya robo fainaili ikiwa inaongoza kundi “A” ikiwa na point kumi na tatu(13)

Nafasi Klabu
1 Simba 6 4 1 1 8 4 4 13
2 CS Constantine 6 4 0 2 12 6 6 12
3 Bravos do Maquis 6 2 1 3 7 14 -7 7
4 CS Sfaxien 6 1 0 5 7 10 -3 3

Ratiba Ya Simba Robo Fainali Kombe La Shirikisho Afrika 2024/2025

Mechi ya Kwanza: Al Masry dhidi ya Simba SC – Uwanja wa Suez Stadium, Egypt. Tarehe: 1-2 April 2025

Mechi ya Marudiano: Simba SC dhidi ya Al Masry- Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam. Tarehe: 8-9 April 2025.

Ratiba ya Simba SC Robo Fainali Kombe la Shirikisho CAF 2024/2025

Leave a Comment