Mkoa wa Singida upo katikati ya Tanzania Bara. Mji wake Mkuu ni Singida na ni njia panda muhimu kwa usafiri wa barabara kwenda Kaskazini, Magharibi, Kusini na Mashariki.
Singida inapakana na Mkoa wa Manyara kwa upande wa Kaskazini, Mkoa wa Dodoma upande wa Mashariki, Mikoa ya Mbeya na Iringa upande wa Kusini na Mikoa ya Tabora na Simiyu upande wa Magharibi.
Mkoa wa Singida ulianzishwa rasmi tarehe 15 Oktoba, 1963 ambapo kabla ya hapo ulikuwa ni Wilaya ya Jimbo la Kati (Central Province) uliojumuisha Mkoa wa Dodoma.
Mkoa wa Singida uko katikati ya Tanzania, kati ya Longitudo 33027’5’’ na 35026’0’’ mashariki ya Greenwich, na kati ya latitudo 3052’ na 7034’ Kusini mwa Ikweta.
Mkoani Singida ndipo kuna eneo eneo rasmi ambalo lilibainishwa na vipimo vya kitaalamu vyenye namba 9305404.35, 698978.015 kuwa ni katikati mwa Tanzania bara yaani Central point of Tanganyika, ambapo ni katika kitongoji cha Darajani, Kijiji cha Chisingisa kilichopo kata ya Sasilo, tarafa ya Nkonk’o Wilaya ya Manyoni.
Shule Za Advance Mkoa Wa Singida (Form 5-6)
Arrangement: District, School name, reg. number, sex, combination
1 IKUNGI SECONDARY SCHOOL S.747 S0924 WAS HGE HGK HGL
2 PUMA SECONDARY SCHOOL S.722 S1026 WAV HKL
3 LULUMBA SECONDARY SCHOOL S.377 S0607 WAV PCM PCB CBG
4 TUMAINI SECONDARY SCHOOL S.113 S0348 WAS HGE HGK HGL HKL
5 ITIGI SECONDARY SCHOOL S.728 S1032 WAV HGK HGL
6 MWANZI SECONDARY SCHOOL S.425 S0662 Co-ED HGL
7 GUMANGA SECONDARY SCHOOL S0950 WAV PCB
8 TUMULI SECONDARY SCHOOL S2643 WAS PCM
9 IGUGUNO SECONDARY SCHOOL S.924 S1129 Co-ED HGE HGK HGL
10 ILONGERO SECONDARY SCHOOL S.491 S0715 WAV PCM PCB CBG HGK HGL HKL
11 MTINKO SECONDARY SCHOOL S.2050 S2186 WAV HGK HGL
12 MWANAMWEMA SHEIN SECONDARY SCHOOL S.2055 S2191 WAS HGK HGL
13 MUNGUMAJI SECONDARY SCHOOL S.2060 S2262 WAV HGK HGL
14 MWENGE SECONDARY SCHOOL S.107 S0334 WAV PCM EGM PCB CBG HGE HGK HGL HKL
Leave a Comment