Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Sifa za Kujiunga Kozi ya Tiba Kwa Njia ya Mazoezi (Physiotherapy)

Sifa za Kujiunga Kozi ya Tiba Kwa Njia ya Mazoezi (Physiotherapy)

Tiba Kwa Njia ya Mazoezi (Physiotherapy) Ni tiba kwa njia ya mazoezi ili kurudisha utendaji kazi wa viungo baada ya upasuaji au baada ya ajali au kuumwa magonjwa ya aina ingine kwa mdua mrefu.

Baadhi ya Vyuo vinavyotoa kozi ya Tiba Kwa Njia ya Mazoezi (Physiotherapy)

KICHAS (KCMC)  Kilimanjaro Christian Medical College, .

 City College 

 HISANI College 

 Tandabuhi 

 Sifa za Kujiunga KOzi ya Tiba Kwa Njia ya Mazoezi (Physiotherapy)

Mwanafunzi anatakiwa awe na Cheti cha Elimu ya Sekondari (CSEE) na angalau alama nne (4) za kupita katika masomo yasiyo ya kidini ikiwa ni pamoja na Kemia, Baiolojia, na Fizikia/ Sayansi za Uhandisi.

Biology D

Chemistry D

Physics D

English D

Na ufaulu zadi ya huo Kama una Ufaulu katika Hisabati na Lugha ya Kiingereza unajiongezea nafasi zaidi.

Leave a Comment