Notice: Function _load_textdomain_just_in_time was called incorrectly. Translation loading for the post-views-counter domain was triggered too early. This is usually an indicator for some code in the plugin or theme running too early. Translations should be loaded at the init action or later. Please see Debugging in WordPress for more information. (This message was added in version 6.7.0.) in /www/wwwroot/net.wazaelimu.com/wp-includes/functions.php on line 6131
Sifa za Kujiunga na kozi ya Uhandisi wa vifaatiba (Biomedical engineering)

Sifa za Kujiunga na kozi ya Uhandisi wa vifaatiba (Biomedical engineering)

Kozi ya Uhandisi wa vifaatiba (Biomedical engineering)

Biomedical engineering ni kozi itakayokuwezesha kutengeneza, kudizaini na kufanyia marekebisho vifaatiba vinavyotumika katika vituo vya afya.

Wahitimu wa kozi hii wanaweza kufuata njia tofauti za kazi katika sekta ya afya. Wana uwezo wa kufanya kazi kama wataalamu wa matengenezo na upimaji wa vifaa tiba katika hospitali na kliniki, au kama washauri wa usimamizi wa vituo vya afya. Zaidi ya hayo, wanaweza kuajiriwa na makampuni yanayosambaza vifaa tiba, au kuendeleza taaluma zao zaidi kwa kujiunga na taasisi za elimu ya juu kwa shahada.

Baadhi y vyuo vinavyotoa kozi ya Uhandisi wa vifaatiba (Biomedical engineering)

Mvumi Institute of Health Sciences

Dar es Salaam Institute of Technology

Arusha Technical College – Arusha

 

Sifa za Kujiunga na kozi ya Uhandisi wa vifaatiba (Biomedical engineering)

Mwanafunzi anatakiwa awe na Cheti cha Elimu ya Sekondari (CSEE) na angalau alama nne (4) za kupita katika masomo yasiyo ya kidini ikiwa ni pamoja na Kemia, Baiolojia, na Fizikia/ Sayansi za Uhandisi.

Biology D

Chemistry D

Physics D

English D

Na ufaulu zadi ya huo Kama una Ufaulu katika Hisabati na Lugha ya Kiingereza unajiongezea nafasi zaidi.

Leave a Comment