Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na klabu ya Yanga SC (mwenyeji wa mchezo) limeweka wazi viwango bei za tiketi kwa mashabiki wote wanaotaka kushuhudia pambano hili la kukata na shoka uwanja wa Benjameni Mkapa. Viingilio vimegawanywa kwa madaraja tofauti kama ifuatavyo:
MZUNGUKO: Tsh 5,000
ORANGE: Tsh 10,000
VIP C: Tsh 20,000
VIP B: Tsh 30,000
VIP A: Tsh 50,000
Leave a Comment