Wachezaji Waliosajiliwa Simba SC 2025/2026

Fahamu Majina Ya Wachezaji wapya Simba kwa msimu wa 2024/2025: Simba ni moja ya Klabu ambayo imeongeza wachezaji wapya wengi wa kimaitaifa kupitia dirisha hili la usajili 2024/2025.

Dirisha la usajili kwa Ligi Kuu soka Tanzania Bara, Ligi ya Championship, First League na Ligi Kuu ya Wanawake msimu wa mwaka 2024/25 lipo wazi tangu Juni 15-2024 na litafungwa Agosti 15-2024. Hivyo bado kuna nafasi ya Simba kuongeza au kupunguza wachezaji katika kikosi chake.

Orodha ya Wachezaji wapya wa Simba SC 2024/2025.

  1. Abdulrazack Mohamed Hamza kutoka Super Sport United.
  2. Valentino Mashaka kutoka Geita Gold FC.
  3. Augustine Okejepha Kutoka Rivers United.
  4. Debora Fernandes Mavambo Kutoka Mutondo Stars.
  5. Omary Omary Kutoka Mashujaa FC.
  6. Karaboue Chamou Kutoka Racing Club d’ Abidjan.
  7. Valentin Nouma kutoka St. Eloi Lupopo.
  8. Yusuph Kagoma kutoka Singida Black Stars FC.
  9. Kelvin Kijili kutoka Singida Fountain Gate
  10. Lameck Lawi kutoka Coastal Union.
  11. Joshua Mutale kutoka Power Dynamos.
  12. Steven Dese Mukwala kutoka Asante Kotoko.
  13. Jean Charles Ahoua kutoka Stella Club d’Adjamé.
  14.  Awesu Awesu kutoka KMC

Leave a Comment